Header Ads

  • Breaking News

    Elon Musk anajiandaa kuunganisha ubongo na kompyuta


    Elon Musk anajiandaa kuunganisha ubongo na kompyuta
    Mwanzilishi na mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Tesla ambayo inahusika na uundaji wa gari zinazotumia umeme nchini Marekani Elon Musk alisema kampuni yake mpya ya Neuralink Corp. wanataka kuunganisha ubongo wa binadamu na kompyuta kwa kutumia mashine za ubongo na vifaa vidogo sana.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad